Breaking: Msanii wa vichekesho wa kitambo, Pembe amefariki dunia.

Adimin
0

Kwa mujibu wa mtu wake wa karibu, Pembe amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Temeke jijini Dar es Salaam baada ya kuugua.


Mwenyekiti wa Chama cha Waigizaji Mkoa wa Dar, Francisco Mwinuka almaarufu Pierre, amethibitisha na kueleza kuwa kwa sasa anaelekea Hospitali ya Temeke na kwamba taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

JIUNGE NA IDAWA MEDIA SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Idawa Media Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top