Mpiga Picha wa TBC Aibuka mshindi Tuzo ya Wakurugenzi Vijana

Adimin
0

Mpiga picha wa shirika la utangazaji tanzania (tbc ) Elia Stephano ambaye pia ni mkurugenzi wa kampuni ya esk production  ameshinda tuzo katika kipengele cha best c.e.o of the year in media and content creation katika tuzo za wakurugenzi vijana [young c.e.o awards afrika] zilizofanyika jiji dar es salaam(johari rotana hotel).

Idawa Media inakupongeza na kukutakia bidii na kufanya kazi kwa weledi ili kuliwakilisha vyema shirika la umma TBC na Kampuni yako ya ESK Production







Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

JIUNGE NA IDAWA MEDIA SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Idawa Media Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top