#VIDEO: Kafyulilo Mikononi Mwa Polisi Njombe

Adimin
0

 Ikiwa siku 5 zimetimia tangu mtandao huu utoe taarifa ya mtoto wa miaka 6 kubakwa katika mtaa wa Ngalanga,  Jeshi la Polisi mkoa wa Njombe limefanikiwa kumkamata Mtuhumiwa Danieli Kafyulilo Ndone [39] kwa kosa la kumbaka mtoto huyo. 


Akizungumza na waandishi wa habari  Mei,27,2025 kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe ACP Mahamoud Hassan Banga.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top