Siku 21 za Kufa au Kufufuka Kwa Askofu Gwajima

Adimin
0

Barua inayodaiwa kutoka kwa Msajili wa Jumuiya za Kiraia, Emmanuel Kihampa, imeeleza kufungwa kwa shughuli za Kanisa la Ufunuo na Uzima, linalongozwa na Askofu Josephat Gwajima, kwa madai ya kutoa mahubiri yenye mwelekeo wa Kisiasa na nia ya kuichonganisha Serikali na Wananchi, kwa kuwa vitendo hivyo vinaathari ya kuhatarisha amani na utulivu nchini



Pia, barua hiyo imeliamuru kanisa hilo kusitisha shughuli zake mara moja na imefutiwa usajili wake, ila lina haki ya kukata rufaa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ndani ya siku 21
TAZAMA VIDEO HII YA GWAJIMA

Barua inayosambaa mitandaoni kuhusu kusitishwa kwa huduma za Kanisal lake hii hapa chini👇👇




Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top