Tazama Picha za Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Arusha,Motooo

Adimin
0

 Ujenzi wa Uwanja wa mpira wa miguu Arusha waendelea kwa kasi mpaka sasa umefikia asilimia 45 ya ujenzi wa uwanja huo, ambapo unauwezo wa kubeba Zaidi ya watazamaji 32, 000. Uwanja huu unatarajiwa kukamilika June 2026.

Matarajio ya madhari ya nje ya uwanja wa Arusha Ukikamilika

Picha za nje uwanja ukikamilika


Huu ndio muonekano wa sasa wakati wa ujenzi wa Uwanja huo, picha juni 2025


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top