Madaktari bingwa wa Mama Samia watua Makete,wananchi waitwa hospitalini

Adimin
0

 Madaktari Bingwa na Bobevu katika magonjwa ya Binadamu “MADAKTARI WA RAIS DKT. SAMIA” wamewasili leo Oktoba 28,2024, Wilaya ya Makete kwa ajili ya kutoa huduma za kitabibu kwa muda wa siku 5, kuanzaia  Oktoba 28 hadi Novemba 1,2024.


Madaktari hao Bingwa wamebobea katika Magonjwa ya Wanawake na Ukunga, Watoto na Watoto Wachanga, Upasuaji katika Mfumo wa Mkojo, Usingizi na Ganzi, Kinywa na Meno, Mifupa na Ajali pamoja na Magonjwa ya ndani.

Hii ni awamu ya Pili, mara ya baada ya Madaktari hao Bingwa na Bobevu “MADAKTARI WA RAIS DKT SAMIA” kutoa huduma hiyo kwa awamu ya kwanza kunzia Mei 6 hadi Juni 28, mwaka huu wa 2024.




Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

JIUNGE NA IDAWA MEDIA SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Idawa Media Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top