Wabunge wa Bunge la Tanzania wapata ajali wakienda Kenya kwenye michezo

Adimin
0

 Moja ya basi lililokuwa limewabeba Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Mombasa Nchini Kenya, limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii ya leo December 06,2024.

Taarifa iliyotolewa na Bunge muda hii imesema majeruhi wa ajali hiyo ambao ni Wabunge na Maafisa wa Bunge wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya Benjamini Mkapa za Mkoani Dodoma.

Kwa taarifa zaidi endelea kuwa nasi na fuatilia habari zaidi kupiti hapa <more>>>
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

JIUNGE NA IDAWA MEDIA SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Idawa Media Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top