Waliolamba uteuzi wapangiwa vituo vya kazi yumo Matinyi

Adimin
0

 Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amempangia Balozi Mobhare Holmes Matinyi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Sweden.



Rais Samia amempangia pia Balozi Hamad Khamis Hamad kuwa Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji na amemteua pia Dkt. Rachel Stephen Kasanda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Masasi akichukua nafasi ya Lauteri John Kanoni ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Rais Samia amemteua pia Prof. Jafari Ramadhani Kideghesho kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Uhifadhi wa Wanyamapori Tanzania na amemteua CPA. Ashraph Yusuph Abdulkarim kuwa Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko Kariakoo.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

JIUNGE NA IDAWA MEDIA SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Idawa Media Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top