Katika hali isiyo ya kawaida, mwanamke mmoja mkazi wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga amebainika kuishi na ujauzito kwa zaidi ya miaka minne kabla ya kufanyiwa upasuaji ambao umebaini kuwa kiumbe aliyekuwa tumboni alikuwa tayari amefariki dunia.
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.