Hii hapa listi ya wagombea ubunge Makete waliochukua Fomu Mpaka leo

Adimin
0

  Wakati mchakato wa watia nia ukiendelea katika majimbo mbalimbali hapa nchini kwa nafasi ya Ubunge na Udiwani, Idawa Media tumekuandalia list ya watia nia ya ubunge jimbo la Makete Mkoani Njombe ambao tayari wameshachukua fomu ya kuwania nafasi hiyo.

Miongoni Mwa waliochukua fomu ya Ubunge jimbo la Makete ni Pamoja na

1-Dr Toba Nguvila

Dkt Toba Nguliva aliyekuwa Katibu Tawala mkoa wa Dar Es Salam amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kugombea ubunge wa jimbo la Makete mkoani Njombe


Dkt Nguvila amechukua fomu  Juni 29, 2025 katika ofisi za CCM wilaya ya Makete ambapo amesema ametimiza matakwa yanayohitajika na anakiachia Chama chake kwa hatua zinazofuata.


2-Bw. Award Mapndila

Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Award Mpandila (Mchuichui) amejitokeza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kuwania ubunge wa jimbo la Makete mkoani Njombe


Mpandila amejitokeza Juni 29,2025 na kukabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM wilaya ya Makete Daniel Muhanza.

3- Dr Alten Ntulo

Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt Alten Ntulo amejitokeza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kuwania ubunge wa jimbo la Makete mkoani Njombe

Ntulo amejitokeza  Juni 29,2025 na kukabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM wilaya ya Makete Daniel Muhanza.

4- Yeriko Kyando 

Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Yericko Kyando amejitokeza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kuwania ubunge wa jimbo la Makete mkoani Njombe

Kyando amejitokeza  Juni 29,2025 na kukabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM wilaya ya Makete Daniel Muhanza.

5-Shadrack Kyando
Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Shadrack Kyando ( Super Kyando) amejitokeza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kuwania ubunge wa jimbo la Makete mkoani Njombe

Shadrack Kyando amejitokeza Juni 29,2025 na kukabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM wilaya ya Makete Daniel Muhanza.


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)
To Top