Israel inaendelea na mashambulizi dhidi ya Iran, jeshi lasema

Adimin
0

 Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) linasema kuwa linaendelea na mashambulizi ya anga katika maeneo ya Iran.


Katika taarifa fupi iliyotumwa kwa Telegram, IDF ilisema kwamba "Jeshi la anga la Israel linaendelea kulenga shabaha ili kuondoa vitisho nchini Iran".

Taarifa hiyo ilichapishwa pamoja na video inayoonesha picha za maonyo ya angani.

Hatua hii inakuja zaidi ya saa 24 baada ya shambulio la awali la Israel kwenye kambi za kijeshi za Iran, ambalo liliua makamanda watatu wa kijeshi wa Iran, kulingana na IDF.

Tangu wakati huo Iran imeanzisha mashambulizi ya makombora dhidi ya Israel hadi Jumamosi asubuhi.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top