Taarifa iliyochapishwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia ukurasa wake wa facebook wa Chadema in Blood imesema kuwa kuna watu wamevamia mkutano wa chama hicho huko Igunga mkoani Tabora na kufanya fujo
Taarifa hiyo imesema mkutano huo ni wa makamu mwenyekiti wa chama hicho taifa John Heche ambapo wananchi wamewathibiti watu hao.
TAZAMA FULL VIDEO HII