Wakati jeshi hilo linaenda hospitali ya Lilondo, kwa ajili ya kumpata daktari ili kufanya uchunguzi wa mwili huo (postmortem) mtuhumiwa Mlelwa, aliamua kujiondoa uhai wake kwa kuruka kutoka kwenye gari na kuangukia kichwa.
Mwili wa marehemu Dickraka umehifadhiwa katika hospitali ya Kibena, kwa ajili ya taratibu zingine za mazishi, lakini mwili wa Mlelwa, upo huko Madaba, kwa ajili ya kusubiri uchunguzi wa daktari.