#BREAKING; Ajali tena Mbeya yahusisha basi na lori mbili hii leo..tazama hii

Adimin
0

 Basi la News Force liliokuwa linatokea Dar es Salaam kuelekea Tunduma lagongana na malori matatu maeneo ya Mlima Nyoka jijini Mbeya ambapo baadhi ya abiria wamepata majeraha madogo madogo.


Taarifa zaidi tunaendelea kufuatilia tutakuwekea hivi karibuni.....



Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

JIUNGE NA IDAWA MEDIA SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Idawa Media Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top