BREAKING: Yanga SC Wagomea Dabi, Bodi ya Ligi Njia Panda

Adimin
0

 Uongozi wa Klabu ya Young Africans umeweka wazi kuwa hautashiriki katika mchezo namba 184 wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Simba SC, uliopangwa kufanyika Juni 15, 2025, hadi hapo matakwa yao yatakapotekelezwa.

Katika taarifa rasmi iliyotolewa  Juni 9, 2025, klabu hiyo imethibitisha kuhudhuria kikao maalum kilichoitishwa na Bodi ya Ligi Kuu kujadili mustakabali wa mchezo huo ambapo waliwasilisha msimamo wao kwa maandishi.

Yanga imeeleza kuwa uamuzi wao unalenga kulinda maendeleo ya soka nchini na imeitakia heri Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) pamoja na Bodi ya Ligi katika kushughulikia hoja walizowasilisha



Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top