Taarifa njema kwa wadau, wapenzi na wafatiliaji wa michuano ya Ndondo Cup ni kwamba, kuanzia sasa mechi za msinu huu zitaoneshwa live kupitia TV3 Sports channel namba 416 ambayo inapatikana kwenye kisimbuzi cha Azam TV.
Channel ya TV3 Sports imezinduliwa rasmi na itakuwa imesheheni maudhui ya michezo ya ndani ya nchi Ndondo Cup ikiwa ni miongoni pamoja na michezo ya kimataifa.
Meneja wa Vipindi wa TV3 Emmanuel Sikawa ameeleza namna walivyojipanga kuonesha Ndondo Cup katika ubora wa juu kwa kutumia vifaa bora na teknolojia ya kisasa.
USIPITE BILA KUTAZAMA VIDEO HII YA MOLLEL VS LISSU